Kishore Kumar Hits

Mac Voice - Mama Mwenye Nyumba şarkı sözleri

Sanatçı: Mac Voice

albüm: My Voice


Mama mwenye nyumba, mwenye nyumba
Mama mwenye nyumba utaniua wee
(Nazdaaa)
Mi najiuliza maswali nihame niende mbali
Kwa visa unavyo nifanyia mama (mama ehh)
Mi namla humu dalali ndo kaniletea shali
Mitego imenizidia jama (jamaa ee)
Ahh ah, kiti kipo akai akifua, akipika anainama
Mama kiboko (mama kobokoo eeeh)
Jana kani letea chai leo kaleta ubwabwa na nyama
Na kanga mokoo (na kanga moko eeh)
Anavyo nipa vishawishi mwishowe nashindwa jizuia
Yata nifika mazishi mumewe aki nifumania
Kasema amfikishi mzee ana tumbo la beer
Mama anataka mwichi yani kisu kikachane pazia
Aaah, niue nisiue? (Uwa!)
Apana mke wa mtu sumu, kuna jela na ghesti
Nami nyumba ninamajukumu
Niue nisiue? (Uwa!)
Wasije kunivutia ndumbu,
Wazee wavilainishi wakapita mombasa na Kisumu
Mama mwenye nyumba, mwenye nyumba
Mama mwenye nyumba utaniua wee
Mama mwenye nyumba, mwenye nyumba
Mama mwenye nyumba utaniua wee
Nikimpa kodi anakataa anairudisha
Bill ya maji, bill ya umeme anazirudisha
Aah! Ah! Niki muamukia anakataa anajinunisha
Kweli n'gombe azeeki maini, anajibaebisha
Usiku nagonga milango anakuja tupu-tupu
Ananizuga samaki chambo tucheki movie za lufufu
Hajui nimetoka jando ananiforce mabusu
Nisije nikampa tango nikaishia kisutu
Nikileta vimada visa, majanga shetani kapandishwa
Oh Mama! Mama! Mama! Mama! Yeah yeah
(Mama aeh)
Akaukagi kujipisha wivu ndo unamkasirisha
Oh Mama! Mama! Mama! Mama! Yeeh yeah
(Mama aeh)
Aaah, niue nisiue? (Uwa!)
Apana mke wa mtu sumu, kuna jela na ghesti
Nami nyumba ninamajukumu
Niue nisiue? (Uwa!)
Wasije kunivutia ndumbu
Wazee wavilainishi wakapita mombasa na Kisumu
Mama mwenye nyumba, mwenye nyumba
Mama mwenye nyumba utaniua wee
Mama mwenye nyumba, mwenye nyumba
Mama mwenye nyumba utaniua wee

Поcмотреть все песни артиста

Sanatçının diğer albümleri

Benzer Sanatçılar