Kishore Kumar Hits

Barnaba - Only You şarkı sözleri

Sanatçı: Barnaba

albüm: Gold


Moyo pupa sijui kwanini undadunda
Sana
Oooh aibu macho yako ukinitazama
Mtamu kama chips yai,asubuhi
Vitafunwa chai
I feel you mbaya,Ooh eti mbaya
Kama malaika ulivyoumbika
Mithili ya kinanda au gitaa
Nikupige mbaya,Ooh eti mbaya
Mhhh" siutani siutani mamaa
Kwenye hilo tope mi nishazama (nishazama mazima)
So usije kunichanganya,ntalia machozi
Ntakusemea kwa mamaa
Kwangu ni wewe tu
Only you,Only you (ni wewe tu)
Only you,Only you (mhh kwangu ni wewe tu)
Only you,Only you Only you only you
Ehh ahh mtoto idara zote yuko fine fine
Umbo na sura she looks fine fine
Ananimudu kidume niko fine fine
Kwenye baridi we joto njoo nkupe peremende au jojo
Na kidume nishajaza ndoo njoo tupunguze hata kikopo
Kukwacha siwezi we nazi mi mkwezi
Nimelewa mapenzi umenioverdose (umenioverdose)
Mgonjwa nimepata kwinini
Madakitari wa nini
Ananitibu homa ya ini,ameniwini nimemuwini
Siutani siutani mamaa
Kwenye hilo tope mi nimeshazama (nimeshazama mazima)
So usije kunichanganya mpenzi
Ntalia machozii ntakusemea
Kwa mama,maana ni wewe tu
Only you (forever you being all mine)
Only you (nikikosea usimind)
Only you, Only you, only you
(Forever you be ma mine)
Only you (nikikosea usimind) only you
(Only you) only you
Ahhh" I just wanna stay with you
(Only you)
We npepee dawa,usininyime
Mimi dawa forever be mine (dawa)
Usininyime mimi (dawa) we kwangu dawaa,usininyime mimi dawa,Naaah
Forever you be mine (dawa)
Usininyime mimi dawa,Naaah

Поcмотреть все песни артиста

Sanatçının diğer albümleri

Benzer Sanatçılar