Kishore Kumar Hits

Linah - Koleza şarkı sözleri

Sanatçı: Linah

albüm: Koleza


Surprisee
Wakiongea usijibu chochote we baki bubu
Uko moyoni hawajui tuu
Nafurahi umeleta amani kwenye maisha yanguu
Povu liwatoke, wakaroge, nitabaki nawe
(Penzi kolezaa, bebi koleza
Hawatuoni wana makengeza, kengeza)×2
(Inabidi uniamini kukuacha katuu,
Katu sijui nini na nini hayo maneno ya watu)×2
(Lelelee jimwa jimwa jimwageee)×2
Maneno maneno wakikuambia nambiee
Midomo midomo kazi yake kuongea, wapuuzie
Nitauboresha boresha(upendoooo)
Nitauboresha miee
Penzi koleza...
Inabidi uniamin kukuacha katu...
Sijui ni na nini...
Leleleh jimwa...
(Inabidi uniamini kukuacha katu...)×2
(Aee lele le jimwa jimwa jimwage)×2

Поcмотреть все песни артиста

Sanatçının diğer albümleri

Benzer Sanatçılar