Kishore Kumar Hits

King Kaka - Nakuchukia şarkı sözleri

Sanatçı: King Kaka

albüm: Swahili Shake Spear


Olaa lala lala laaa (Rabit, Kaka Sungura)
Olaaa lala lala lala (Sudi Boy)
Olaa Sappe, haah hii ni ingine mseia
Ulichotaka nilikupa, ukaniona pweke sina maana
Leo unataka nini tena? Wuwuwuwuu
Ungejua navyo kuchukia (kuchukia)
Kuchukia (kuchukia) kuchukia sana
Ungejua navyo kuchukia (kuchukia)
Kuchukia (kuchukia) kuchukia sanaaa
Tulikua na chemistry baby na ile videliba
After bio ukawa physics
Sikuelewi, hii ndo inaitwa love stories
Something out of a movie kama new rings za Rubi
Nlibuy zile za blueish kama ni plaka ya ujuzi
Ilikua perfect nli overdo
Mabeste wake walishika nare
Wengine ata walilose juu sijai mslap kaa Lucy
Love yangu Ilikua ya ujuzi
Hakuna mbrrrcha kaa Mbusi,until hivi majuzi
Nilipoanza tu wakanda orutu ya masudi
Nilitaka awe na life poa
After four months kaldina to four bedrooms
Mmmh aletewe car shoes na dress ya dinner
Akaanza ku act funny kama episode ya Churchill
Anakaa tuu (ndeee) na pia aliquit kazi
Aniletea tu (stress) kila saa ni mahitaji
Nikapata text inasemaa (I love you uko beutiful)
Na yake inasemaa (I love you too)
Ulichotaka nilikupa,ukaniona pweke sina maana
Leo unataka nini tena? Wuwuwuwuu
Ungejua navyo kuchukia (kuchukia)
Kuchukia (kuchukia) kuchukia sana
Ungejua navyo kuchukia (kuchukia)
Kuchukia (kuchukia) kuchukia sana aaah
Ambia mathako aache kunipigia kina Patricia pia
Si uwaambie kile ulifanya ama bado hujawaambia?
Na regret kukupenda na ujue uliwaste time yangu
Sidhani kaa una roho, nakaa uko nayo ni chafu (ni chafu)
Ile frame ulibuy Maasai market nlivunja nikaichoma
Ile dinner dress, viatu vitu ulitreasure vinoma
Anajitetea nliacha kumpenda, nikapenda doo (ati doo)
Sikutaka akuwe beggar, tulidiscuss before
Naye aka decide kunicheza (kaa samo eletro)
Nilidhania una class, urembo ukuja na standards
Kumbe ye si smart (si smart)
Petty cheap kaa pamba umenifika apa
Wapi? (Apaa) vuta izo crocodile tears
Si ulijifanya mamba, umenifika apa
Wapi? (apaa) ndakupa izo vitu za nyumba
Lakini moja itakua ngumu, gari enda nayo
Lakini roho yangu nitampa Mungu
Ulichotaka nilikupa ukaniona pweke sina maana
Leo unataka nini tena? Wuwuwuwuu
Ungejua navyo kuchukia (kuchukia)
Kuchukia (kuchukia) kuchukia sana
Ungejua navyo kuchukia (kuchukia)
Kuchukia (kuchukia) kuchukia sana eeeeh
Uleleleleleeee umenifika apa wapi? (Apa)
Uleleleleeeee unifika apa wapi? (Apa)
Ulele eeh ulele eeh umeniika apa wapi? (Apa)
Ulele eeh ulele eeh umenifika apa wapi? (Apa)
Ulelelelele leee, ulelelelele leee
Ule ulehe, ule uleee
Umetufikia wapi? Umetufikia
Umetufikia wapi? Wapi? Wapi?
Umetufikia wapi? (Apa)
Umetufikia wapi? (Apaa)
Umetufikia, wapi? Fikia, wapi eeh
Ulichotaka nilikupa ukaniona pweke sina maana
Leo unataka nini tena? Wuwuwuwuu
Ungejua navyo kuchukia (kuchukia)
Kuchukia (kuchukia) kuchukia sana
Ungejua navyo kuchukia (kuchukia)
Kuchukia (kuchukia) kuchukia sana eeeh

Поcмотреть все песни артиста

Sanatçının diğer albümleri

Benzer Sanatçılar