Kishore Kumar Hits

Iyanii - Furaha şarkı sözleri

Sanatçı: Iyanii

albüm: Furaha


Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Kwa sherehe tumefika
Sherehe tumefika
Kwa sherehe tumefika
Sherehe tumefika
Familia iko ndani, ndani
Wote tunajibamba
Marafiki majirani, rani
Wote tunajibamba
I am happy today, so happy
I am happy today, so happy
Ju sisi ni walevi, sisi ni walevi
Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso
Sisi ni walevi, sisi ni walevi
Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Pem-peremre (Iyanii)
Pem-pem-pem-peremren (Iyanii)
Pem-peremre (Iyanii)
Pem-pem-pem-peremren (Iyanii)
Comrades power (Power)
Comrades power (Power)
Niruhusu leo niwaite makondoo (Aii)
Skiza, ship yaani kondoo is for friend (Ship)
For better for worse yaani through hard (Ship)
Na kuanzia leo that's our relation (Ship)
Ship power (Power)
Ship power (Power)
I am happy today, so happy
I am happy today, so happy
Ju sisi ni walevi, sisi ni walevi
Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso
Sisi ni walevi, sisi ni walevi
Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Aiiii-ih
Mnanibamba mbaya, ah wote
Tiki (Taka) Tiki (Taka) Tiki (Taka)
Tiki (Taka) Tiki (Taka) Tiki (Taka)
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki
Furaha, ni kuwa na marafiki
Furaha, ni kulewa na marafiki

Поcмотреть все песни артиста

Sanatçının diğer albümleri

Benzer Sanatçılar