Ndege atachagua atue kwenye mti gani Watu hatufanani ndani nje nje ndani Akili kichwani ufunzwe nyumbani Usijudge kitabu kama hujakisoma ndani Pika na kupakua majungu weka mezani Am drunk in love utaniimbia nyimbo gani Radio za mbao paparazi dirishani Habari jamani muna habari gani (Yeeeeeeaaaaaahhhh) Umenipa nini mama wee Cha kunifanya nisisikie mambo yote yale ya nje ... Mara makiki masocial media na magazeti sitaki sikia kwako naketi wasinipangie we ndo kipenda roho Mara makiki mara mapress yee na magazeti mi sitaki yee kwako naketi wasinipangie we ndo kipenda roho Watu wote wanashangaa wanasema najitenga utadhani mi sikai Dar Am so yesterday, baby you keep me busy Unanifanya niwe chizi sina muda na hadithi za viongozi wapenda kiki (kiki) In your bedroom Tak tatu zungusha ah Tatu tatu kamata wa Taku tatu zungusha Ah Tatu tatu samata wah (Yeeeeeeaaaaaaahhhhhhh) (UsaAAlama wa taifa langu upo kwako baby, niteke) Niteke niteke niteke niteke Tekay moyo teka moyo teka Moyo ai