Kishore Kumar Hits

MABANTU - Nakesha şarkı sözleri

Sanatçı: MABANTU

albüm: No Love No Stress


Gachi
Yo God Father
Si wanapenda kubang
Ok
Nekesha Club
Nakesha Club
Nakesha Club
Nakesha Club(Gachi b)
Nakesha Club
Nakesha Club
Nakesha Club
Nakesha Club
Kanee
Nakula mtaji tutajuaga keshoo(Nakesha club)
Japo pesa ya maji ila nimeitolea jashoo(Nakesha Club)
Oya mapenzi konyoo, (konyo)
Nimeinua mikono (kono)
Kamanzi kangu na my best friend
Nimekuta wanakula mdomo kwa mdomoo aya
Skia sasa
Home kuna huyo nyange maDj kutwa nyimbo za kizungu
Sijui anajikuta Jigga (Nakeshaaa)
Na kuna jirani anaki-Ben 10 usiku anapelekewa moto
Kelele ka kuna msiba (Mmh Fuck)
Nakesha Club
Daah Leo litakufa jitu(Nakesha Club)
Aah mtaniua wee(Nakesha Club)
Shiiiii(Nakesha Club)
Bad bad bad(Nakesha Club)
Baby kaniacha usiku umezidi kuwa mrefu(Nakesha Club)
Wenzangu wanaelewa mi nilizama kina kirefu(Na Nakesha Club)
Oya wanangu kina (Kinaa)
Mwenenu nilizama kina (Kinaa)
Nilimpa macho matatu na shoo za kibabe
Tatoo nikamchora jina (Jina)
Skia sasa
Kusema ukweli nilihudumia
Ili asipate shida ye akaniona danga (Nakeshaa)
Yaani hakunihurumia licha ya kumfungulia duka
Mpaka nyuma nikapanga mamaee
Nakesha Club
Daah leo litakufa jitu(Nakesha Club)
Aah mtaniua wee(Nakesha Club)
Bado nipo nipo sana mtanikuta kesho(Nakesha Club)
Leo kitanda changu ni Counter ntalimiss ghetto(Nakesha Club)
Oyaa wanangu ghetto (Ghetto)
Nitalimiss ghetto (Ghetto)
Hata nikipata bebe tutamaliza toi
Wanangu sirudi ghetto (Ghetto)
Skia sasa
Kuna jirani anajikuta mpenja kutwa dirishani kwangu
Makelele ya kandanda (Nakeshaa)
Na kuna swala mi sijalipenda
Home wamenipa skendo et nauzaga ganja (shit)
Nakesha Club
Daah Leo litakufa jitu(Nakesha Club)
Aah mtaniua wee(Nakesha Club)

Поcмотреть все песни артиста

Sanatçının diğer albümleri

Benzer Sanatçılar