Kishore Kumar Hits

Mercy Masika - Milele şarkı sözleri

Sanatçı: Mercy Masika

albüm: My Everything


Eeh nataka kukaa na wewe (oh, oh, oh)
Eeh nataka we nikuimbie Baba (nikuimbie)
Kuwa karibu nawe, ninapenda
Kuwa karibu na wewe niko uhuru
We hunifunza njia zako, kweli nazipenda
Kwani njia zako nimetambua
Zanifaa mimi maishani mwangu
Unifunze, nitengeneze niwe kama wewe
Nataka kukaa na wewe (kukaa na wewe)
Siku za maisha yangu (ooh)
Nataka we nikuimbie Yesu (nikuimbie Baba)
Milele hata milele (oh yeah, oh yeah, oh yeah)
Yesu wangu
Kuwa na karibu nawe, ninapenda
Mahali wewe Yesu, we ulipo (we ulipo)
Nakutamani, wewe ni, tamaa ya roho yangu
We ni afadhali siku moja nawe
Kuliko maelfu mahali pengine (mahali pengine)
Kuna amani (furaha tele)
Nakupenda wewe
Nataka kukaa na wewe (kukaa na wewe)
Siku za maisha yangu (siku zangu zote)
Nataka we nikuimbie Yesu (nikuimbie)
Milele hata milele (oh yeah, yeah, yeah)
Eeh nataka kukaa na wewe (kukaa na wewe)
Siku za maisha yangu (ooh, siku zangu zote)
Eeh nataka we nikuimbie Baba (nikuimbie Yesu)
Milele hata milele (ooh-ooh)
Milele, nikuabudu Baba
Nikuimbie (nikuabudu)
Yeah, yeah, yeah, yeah, yeah, yeah
Siku zangu zote
Eeh nataka kukaa na wewe (kukaa na wewe)
Siku za maisha yangu (ooh)
Eeh nataka we nikuimbie Baba (we nikuimbie)
Milele hata milele (oh la-la, la-la, le-la, la-la)
Eeh nataka nitembee na wewe (nitembee na wewe)
Siku za maisha yangu (nitembee nawe)
Eeh nataka we nikuinue Baba (nikuinue yeah, yeah)
Milele hata milele (oh wewe, wewe, wewe, wewe pekee yako)
Oh wewe pekee yako
Siku zangu zote Baba nikuimbie
Nitembee na wewe
Nikuabudu Baba
Wewe pekee, wewe pekee, wewe pekee
Oh yeah, yeah, yeah, yeah

Поcмотреть все песни артиста

Sanatçının diğer albümleri

Benzer Sanatçılar