Kishore Kumar Hits

Darassa - Too Much şarkı sözleri

Sanatçı: Darassa

albüm: Top tracks


Classic music
Ehh na Mr. T touch
Wanasema nimechange nimepitia mengi please nipeni break

Nani rafiki, nani adui
Nani mapenzi, nani real, nani fake
Kuni discuss wakutoa wakunipa marks

Mvua jua hamtaki za wapi, you people talk to much
Mwingine atakutafuta kama nadeal
Wengi watakukuta tu ume-chill
Akaleta maneno ya kiswahili
Wanataka kujua unalipaje bill
Mwengine atakutag
Mwengine haekiwazi ye ni hater
Roho ya ubinadamu kazi wengine watanipenda nikisepa
Acha kuniletea shazi, too much
Pigo za kipaparazi zimekuwa too much
Tantari, tantarira, this is too much
Ahh you people talk too much
Oh no no no no no, too much
Nisile hata nisinye maji, imekuwa too much
Tantari, tantarira, this is too much
Ahh you people talk too much
Too much
Too much
Too much
This is too much, much much
Usingekuwa naichaji watu tungemwagishana sana radhi
Wengine ndio washkaji ukigeuka mgongo wauwaji
Acha kuleta mapicha, picha longo longo
Unamaindisha mambo madogo
Inaweza kukufelisha hata michongo
Ndio maana Malaika akaeka zogo
Mwingine ataku-tag, mwingine haeki wazi ye ni hater
Roho ya ubinadamu kazi, wengine mtanipendaga nikisepa
Acha kuniletea shazi, too much
Pigo za kipaparazi zimekuwa too much
Tantari, tantarira, this is too much
Ahh, you people talk too much
Oh no no no no no, too much
Nisile hata nisinye maji, imekuwa too much
Tantari, tantarira, this is too much
Ahh you people talk too much
Too much
Too much
Too much
This is too much, much much
Wanasemaga mzigo aubebe punda
Utavuma upepo na kimbunga
Lazima kuna Petro na kuna Yuda
Utapigwa mawe mti wa matunda

Поcмотреть все песни артиста

Sanatçının diğer albümleri

Benzer Sanatçılar