Kishore Kumar Hits

Darassa - Boss It (feat. Ben Pol) şarkı sözleri

Sanatçı: Darassa

albüm: Slave Becomes A King


Kujiliza kinyau nyau
Vipiiiii
Nkupe mfupa unatamani fisi
Na mademu wa kufunga kijiji
Hata ukiniita kimadharau siji
Vuumi vuum honda
Kumbe sio honda
Kapanda bike ya miti kimeo
Kujifanya ninja kumbe sio ninja
Ujanja wa kuiga kwemye video
Wale mademu waloleta utajiju
Sisomi mesage zao sijibu
Wanaojifanya moto leo majivu
Bado wenye chuki wanakuja na wivu
Boss it... kwani shingapi?
Gimme this gimme that
Boss it... you wanna know what happen
If i say no no discussions
Boss it...
Boss it...
Boss it...
Eeeeeh boss it...
Tulianza kama utani na
Tumetokea gizani
Eeeeeh kama utani now we get money
Na tunashine
Keep it calm keep it calm
Aaah drinks bill is on me
Keep it calm keep it calm
Na break down
Watu wanakwenda wanakwenda pasi pasi
Ronaldo na mpira chenga kati,
Washangaa eeh nimekuwa stranger bas
Don't play boy this is dangerous
Tokea asubuhi niko juu ya anga
Napishana na wachawi wanatoka kuwanga
Alafu unipigie uniletee ushamba
Nakufunga wewe na aliyekupa namba
Boss it ...kwani shingapi
Himme dis gimme dat
Boss it you wanna know what happen
If i say no no discussions
Boss it
Boss it
Boss it (eeeehhh
Tulianza kama utani
Na tumetokea gizani
Eeeeh kama utani now we get money
Na tuna shine
Oooooh
Eeeeh yaaaaah

Поcмотреть все песни артиста

Sanatçının diğer albümleri

Benzer Sanatçılar